Kwa mujibu wa kifungu namba 26(1) cha sheria ya Mtoto, mtoto anazo hazi zifuatazo endapo wazazi wake wakitengana -Kuendelea kupatiwa elimu bora kama aliyokuwa akipatiwa na wazazi wake kabla ya kutengana. -Kuishi na moja ya wazazi wake kadri ya mahakama itakavyoona inafaa. -Kuwa huru kutembelea na kuishi na mzazi wake yeyote ilisipokuwa kama kufanya hivyo kutathiri masomo yake.