Mfanyakazi hawezi kuachishwa kazi kwa sababu zifuatazo; a) kufukuzwa kazi kwa sababu zinazohusiana na ujauzito,kufanya hivyo ni kujunja sheria b) kuachishwa kazi kwa sababu zinazohusiana na ulemavu c) kuachishwa kazi kwa sababu zinazohusiana na ubaguzi mfano kwa sababu ya jinsia yake,dini yake, itikadi yake kisiasa,kabila lake. d) ikiwa mfanyakazi atafichua taarifa ambazo mfanyakazi ana haki au anatakiwa kufichua kwa mtu mwingine kwa mujibu wa sheria. e) Kama mfanyakazi amejiunga au slijiunga kwenye chama chochote cha wafanyakazi