Ni taasisi zinazoanzishwa kisheria na wafanyakazi ili kuwaunganisha waweze kutetea haki zao na maslahi yao kazini kwa sauti moja. Inajumuisha pia kupigania mafao bora kulingana na uzalishaji wao kazini. Maslahi ya wafanyakazi yanajumisha pia mazingira bora na yenye staha ya kufanyia kazi.