kwa lugha ya kigeni inaitwa (custom/import duty), hii ni kodi inayosimamiwa kwa mujibu wa sheria ya jumuiya ya Afrika Mashariki, wakazi wa jumuiya hiyo hawapaswi kulipa ushuru wa bidhaa kwa bidhaa zote zinazozalishwa na/au kusafirishwa ndani ya mipaka ya jumuiya.