hii ni kodi/ushuru maalumu unaotozwa kwenye bidhaa za filamu na muziki. Kwa Tanzania ushuru huu ulianza tangu mwaka 2012. Sheria inataka bidhaa zote ziwe za kuingizwa kutoka nje, au za kutengenezwa hapa ndani, kubandikwa stempu za kodi zinazosimamiwa chini ya sheria ya ushuru wa bidhaa.