kodi inakuza uchumi kwa kuongeza zaidi vyanzo vya uchumi, au inakuza uchumi kwa kuongeza thamani ya fedha pale kunapokuwa na fedha nyingi mtaani, serikali huweka kodi kubwa hasa kwenye bidhaa ili kufanya makusanyo kuwa mengi na hatimae kukuza uchumi. Nchi nyingi Duniani uchumi wao unakuwa kwa kutumia kodi.