moja kati ya misingi ya demokrasia ni pamoja na uwazi,uwajibikaji, sasa basi kama wakusanya kodi watakuwa wawazi kwa kutoa taarifa za kodi zilizo kusanywa au pale wanapokiuka sheria wakawajibishwa basi kwa namna hiyo misingi ya demokrasia itakuwa imezingatiwa.