kuna uwezekano wa makadirio kutokuwa sahihi, kuna uwezekano wa kuwepo kwa lengo la kughushi ambalo ni kosa la jinai kisheria, kupoteza fedha zako wewe mlipa kodi, ukipatikana na nyaraka za kughushi utashitakiwa kwenye vyombo vya dola na kupata usumbufu ambao unaweza kuepukika.