Mwajiriwa anastahili likizo ya ugonjwa ya siku 126. Likizo hii imegawanyika katika mafungu mawili -Siku 63 za kwanza za likizo ya ugonjwa, ambazo zitakuwa na malipo kamili ya mshahara. -Siku 63 za pili za likizo ya ugonjwa, ambazo zitakuwa na malipo ya nusu mshahara.