Pale ambapo eneo limetangazwa kuwa la upimaji/mipango miji/lililopangwa (planned area) mtu yeyote anaye miliki au aliyekuwa akimiliki eneo hilo atapewa notisi ya kuhama. Hata hivyo, mtu huyo atastahili kupata fidia ya haki, ya haraka na timilifu kabla ya kuhamishwa