Muda; mtu aliyejetwalia eneo, akiendelea kulitumia kwa muda usiopungua miaka kumi na miwili (12) kama vile yuko kwenye ardhi yake na kuweza kufanya kila atakavyo bila kukumbushwa, kukemewa, kulipishwa kodi au bila ya bughudha ya aina yeyote ya umiliki, kama eneo hilo si ardhi ya hifadhi huhesabiwa kuwa anamiliki ardhi ile kihalali.