Hapana, Upande wowote usiporidhika na maamuzi ya mahakama unayo haki ya ama kuomba kurudia kwahukumu katika mahakama ileile; kukata rufaa au kuombamarejeo dhidi ya hukumu katika mahakama ya juu ya ileiliyotoa hukumu na yenye mamlaka ya kusikiliza rufaaau marejeo.