-Adhabu ya kifo kwa makosa ya mauaji, uhaini na kusababisha mgomo katika jeshi la wananchi. -Kulipa Faini -Kulipa Fidia -Kifungo cha Gerezani au cha nje -Kuchapwa Viboko -Kutaifisha au kunyang`anya mali -Kuwa chini ya matazamio ya kutotenda kosa ndani ya muda maalum -Kuwa chini ya Afisa Ustawi kwa kufanya shughuli za mafunzo maalum -Kutumikia jamii