Kuchukua au kufanya kitendo au kutokufanya jambololote kwenye kitu au mali yako halali toka kwa mtumwingine aliyenayo. Kitendo hicho lazima kifanyike bila udanganyifu au ulaghai wa aina yoyote. Mfano,kutuhumiwa kwa wizi wa radio wakati ambapo radiohiyo ni mali yako.