-maneno yaliyotamkwa au kitendo kilichofanywa si kosa la jinai na ni halali kisheria. -kosa la jinai lililofanywa linatokana na ushawishi, kusisimka na jazba ambazo zimetokana na mtu mwingine au matendo ya mtu mwingine. -itathibitika kwamba kitendo hicho hakikuwa halali na ni kinyume cha sheria.