Mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 10 hawajibikikwa tendo lolote la jinai analotenda na anakuwa hanahatia kwenye makosa yote ya jinai. Hali kadhalika mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12 yaani kumi nambili au chini yake, hatakuwa na kosa la jinai kwenyemakosa ya kujamiiana.