Mshitakiwa akikana shitaka lililosomwa mbele yake,mahakama itanukuu maneno ya kukana shitaka nakuutaka upande wa mashitaka kuendelea na mashitakadhidi ya mshitakiwa ikiwa ni pamoja na hatua za kuitamashahidi na kutoa ushahidi kwa kadri ya mashahidi naushahidi walionao.