Mshtakiwa akikiri kosa, hakimu atamuuliza marakadhaa kuhakikisha kauli ya kukiri kisha atanukuumaneno ya kukiri kwa mtuhumiwa katika lugha nyepesina fasaha ambayo inawakilisha kwa karibu sanayale aliyosema mtuhumiwa na kisha atamtia hatianimtuhumiwa kwa kosa alilolikiri na kisha kutoa adhabukulingana na sheria na taratibu za kimahakama.