Upande wa mashitaka ni Jamhuri, yaani Serikalina vyombo vyake ambavyo ni pamoja na Polisi,TAKUKURU, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka, Ofisiya Mwanasheria Mkuu wa Serikali au taasisi yoyoteyenye mamlaka ya kuendesha mashitaka, mwathirika wakosa la jinai, pamoja na mashahidi watakaounga mkonomashitaka.