Kuhakikisha mtuhumiwa anayedhaminiwa anafanya yafuatayo; -anatimiza masharti ya dhamana na kuhudhuriamahakamani kama inavyotakiwa kufanya. -endapo mtuhumiwa atakiuka masharti ya dhamana,na hasa pale anapotoroka, itabidi mdhamini kulipakiwango cha dhamana alichojifunga. -kuwa tayari kukamatwa kwa mali zake endapomdhamini atashindwa kulipa kiwango cha fedha yadhamana. -ikiwa itashindikana kulipa kiwango cha dhamanakuwa tayari kuhukumiwa kutumikia kifungokisichopungua miezi 6 (Sita).