-Mdhamini wake au mtuhumiwa kusaini na kuingiamakubaliano na polisi au ofisi na Mkurugenzi wa Mashitaka, TAKUKURU au Ofisi ya MwanasheriaMkuu wa Serikali kwamba atahudhuria mahakamanisiku anayotakiwa. -Mara baada ya kusaini au kuingia makubaliano hayona vyombo husika kama ilivyoelezwa hapo juu basimtuhumiwa atatoka kwa dhamana kama atakuwayuko gerezani au mahabusu.