-Kusalimisha hati ya kusafiriakwa polisi au vyombovingine husika. -Kumzuia mtuhumiwa kusafiri nje ya eneo maalumu. -Kumtaka mtuhumiwa kuripoti kwenye kituo chapolisi kwa muda maalumu. -Kumzuia mtuhumiwa asionekana au kutembeleamaeneo maalumu. -Masharti mengineyo ambayo mahakama itaonainafaa.