Ndio, inaweza kutolewa kwa mtuhumiwa yeyote isipokuwa yule aliyetuhumiwa kufanya makosa yafuatayo; -Mauaji -Uhaini -Wizi wa kutumia silaha kubwa za moto -Kufanya biashara ya madawa ya kulevya ambayoyametajwa katika sheria ya Kuzuia Madawa ya Kulevya.