Mtuhumiwa anayevunja kwa makusudi masharti yadhamana akiwa nje kwa dhamana anakuwa ametendakosa la jinai na akipatikana na hatia atawajibikakutumikia adhabu ambayo si zaidi ya adhabu ya kosaaliloshitakiwa nalo awali kabla ya kuvunja masharti yadhamana yake.