Kifungu cha 15(4) kinaelekeza bayana pale ambapo suala lililotajwa katika kifungu kidogo cha 15(1) litabadilika, mwajiri atatakiwa kwa kuwasiliana na mfanyakazi, kurekebisha maelezo yaliyoandikwa ili kuendana na mabadiliko na kumtaarifu mfanyakazi mabadiliko hayo kwa maandishi. REBUILD PLEASE