-Mtuhumiwa kujidhamini kimaandishi aukuthibitisha kwa maandishi kwamba atafikamahakamani siku na muda uliopangwa. -Mtuhumiwa kuhakikisha kimaandishi kwambaatazingatia na kufuata masharti ya dhamanaatakapokuwa nje. -Mtu mwingine anayeaminika mbele ya askari polisianaweza kumdhamini mtuhumiwa. -Uwezo wa mtuhumiwa au mdhamini kulipa kiasicha fedha endapo mtuhumiwa atashindwa kufikamahakamani siku iliyopangwa kusikiliza shaurilake.