Ndiyo. Kwa mujibu wa kifungu cha 7 cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Mwajiri analazimika kusajili kwa Kamishna wa Kazi, mpango wa kuendeleza fursa sawa na kutokomeza ubaguzi katika sehemu ya kazi, Kamishna wa Kazi anaweza kumtaka mwajiri a) Kuunda mpango wa kuendeleza fursa sawa na kutokomeza ubaguzi katika sehemu ya kazi kama inavyoelekezwa katika kifungu kidogo cha (2); na b) Kuusajili mpango huo kwa Kamishna Kutokuunda mpango huo na kuusajili ni kosa kisheria