Upelelezi katika utawala wa haki jinai husaidia katika kutambua ni kosa gani hasa la jinai liliotendeka, kuwabaini wahusaika, kubaini shitaka lipo kwa mujibu wa sheria gani na mwisho ni kutambua mahakama sahihi yenye uwezo na mamlaka kisheria kusikiliza shitaka linalokusudiwa.