Sheria inampa askari polisi mamlaka ya kufanya upekuzi katikanyumba za kuishi watu, ofisi, magari, vyombo vyovyoteau maeneo yeyote kama atakuwa na sababu za msingikufanya hivyo. Upekuzi pia unaweza kufanywa kwa mtu yaani katika mavazi yake au vitu alivyobeba.