-Kumtaka mtu anayemtia nguvuni ajitambulishe kwajina, cheo, sehemu anayofanyia kazi na sababu zakumkamata. -Kutumia lugha inayofahamika kwa mtuhumiwakatika kueleza sababu za kutiwa kwake nguvuni. -Kutoteswa, kupigwa au kufanyiwa unyanyasaji waaina yeyote wakati akiwa mikononi mwa polisi aumtu aliyemkamata wakati ametii amri. -Kupewa nafasi ya kutoa taarifa kwa mwanasheriawake, ndugu au jamaa zake kuhusiana na kutiwakwake nguvuni. -Kutonyang`anywa mali zake halali wakati wakutiwa nguvuni au baada ya kutiwa nguvuni. -Kupatiwa matibabu kama ni mgonjwa au ameumiawakati wa zoezi la ukamataji. -Kupatiwa dhamana toka kwa polisi kablahajafikishwa mahakamani kwa makosayanayodhaminika. -Kukaa kimya.