-Kutii sheria pasipo shuruti; -Kutii amri halali ya polisi wakati anatiwa nguvuni. -Kujibu maswali atakayoulizwa na polisi au mtuyeyote anayemkamata. -Kutoa taarifa sahihi ambazo atatakiwa kutoa mbeleya askari polisi au mtu yoyote anayemkamatazinazohusiana na kutendeka kwa kosa la jinai aukushiriki kwake katika kosa la jinai. -Kutoa ushirikiano mbele ya polisi.