Kifungu cha 7 cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini kinaharamisha ubaguzi wa aina yoyote kwenye masuala ya ajira na mahali pa kazi, ikiwemo ubaguzi wa moja kwa moja na ule usio wa moja kwa moja kwa mfano: a) Ubaguzi wa rangi b) Kabila c) Dini d) Kisiasa e) Jinsi f) Jinsia g) Ubaguzi kutokana na ujauzito h) Hali ya ulemavu