Askari polisi haruhusiwi kufanya jambo loloteambalo linaweza kusababisha maumivu, majerahamakali na hata kifo kwa mtuhumiwa isipokuwa kamaitaonesha na yeye kuamini kwa dhati kwamba kwakufanya hivyo atakuwa amelinda na kuhifadhi maisha aukuzuia madhara makubwa kwa binadamu.