Hatua ya kukamatwa hadiadhabu hupitia hatua zifuatazo -Kukamatwa kwa Mtuhumiwa -Upelelezi wa Makosa ya Jinai -Upelekaji wa Mashauri ya Jinai Mahakamani -Uendeshaji Mashauri ya Jinai Mahakamani -Dhamana -Ushahidi Mahakamani -Hukumu itolewayo na Mahakama -Adhabu -Rufaa