-kulinda amani na utulivu katika nchi -kuwatia nguvuni na kuwaweka watuhumiwa chiniya kizuizi (mahabusi) -kuwafikisha watuhumiwa mahakamani -kupepeleza mashauri ya watuhumiwa -kutoa ushahidi mbele ya mahakama dhidi yawatuhumiwa wa makosa ya jinai -kusaidia katika majanga ya kitaifa.