-mtu atafanya tendo la kuvunja amani mbele yaaskari, -mtu atamzuia askari polisi kufanya kazi zake, auatafanya jaribio la kutoroka au atatoroka kutokachini ya ulinzi, -mtu ataonekana kuwa na mali ya wizi auinayoshukiwa kuwa ya wizi, -mzururaji au mtu anayezurura kwa nia ya kufanyauhalifu, -mtu anayehisiwa kuwa hati ya kukamatwaimeshatolewa dhidi yake, -mtu yeyote ambaye amefanya kosa nje ya Tanzaniana kuna uwezekano wa kuadhibiwa ndani yaTanzania, -mtu anayedharau nembo ya taifa kama vile wimbowa Taifa au Bendera ya Taifa