-Iwe imetolewa na Mkuu wa Kituo cha polisi,hakimu au mtendaji. -Lazima iwe na mhuri wa polisi, mahakama aumtendaji. -Iwe imesainiwa -Lazima iwe na maelezo ya mtuhumiwa kama vile jina, -Ielezee tuhuma na sababu za kukamatwa nakufikishwa mbele ya vyombo vya sheria kujibu tuhuma