-Jamhuri ina dhamana na wajibu wa kuhifadhi nakulinda raia na mali zao dhidi ya wahalifu. -Baadhi ya makosa ya jinai hayana madhara ya mojakwa moja kwa mtu binafsi na hivyo kukosekanakwa mtu ambaye ana nia na yuko tayari kufunguamashitaka dhidi ya mtuhumiwa. -Makosa ya jinai hujumuisha adhabu ikiwa ni pamoja na mifungo. -Makosa ya jinai yanahitaji gharama kubwa kwa mfano; kuchunguza, kuendesha mashitaka na kutunza watuhumiwa na baadae wafungwa.