Jeshi la Polisi kwa kiasi kikubwalinahusika katika maeneo ya ukamataji, uhifadhi wa watuhumiwa baada ya kukamatwa, mfumo wa kuwahoji watuhumiwa na upelelezi wa makosa ya kijinai kwa ujumla, uaandaaji wa hati za mashitaka, uhifadhi, usafirishaji na uharibuji wa vidhibiti baada ya shauri kuhitimishwa au kabla ya hapo,