Wosia unaweza kuhifadhiwa ama kutunzwa mahali popote palipo na usalama na ulinzi ili kuepuka kughushiwa mfano; -Ofisi ya kabidhi wasii mkuu (RITA) -Kwenye vyombo vya kutoa msaada wa kisheria -Asasi za kidini kama kanisani au msikiti -Katika kampuni ya uwakili -Kwa mtu yeyote asiye mrithi katika wosia husika -Benki -Mahakamani, n.k.