Kwa mujibu wa kifungu namba 33 (1) cha sheria ya watu wenye ulemavu waajiri wanao wajibu wa kutobagua watu wenye ulemavu katika maeneo yafuatayo -Matangazo ya kazi -Sifa za kuajiri -Katika viwango vya mishahara -Katika mafao ya kazi -Katika utoaji wa vifaa vya kazi