Shahidi kubadili upande haidhihirishi kwa kila neno alilotoa ni la uongo badala yake Hakimu atapata wasaa wa kuchambua baadhi ya maelezo yatakayo saidia mahakama. Ushahidi wa mtu huyu unaweza kutumika kama itathibitika kuwa alihongwa na upande wa kwanza ili atoe ushahidi au amejua ukweli kuwa upande aliopo siyo sahihi.