Kama ikitokea shahidi akabadili upande wakati wa kutoa ushahidi na kwenda kinyume na upande uliomuita kutoa ushahidi au kuamua kusema uongo dhidi ya upande wake basi mahakama itatoa nafasi kwa upande husika kumhoji baadhi ya maswali shahidi huyo ili kuthibitisha kuwa kinachoongelewa hapo si cha kweli.