Iwapo utatokea usitishaji wowote wa ajira ya wafanyakazi kwa sababu zaza kiuendeshaji, mwajiri atatakiwa kufuta utaratibu ufuatao; a) Kutoa notisi ya kusudio la kupunguza wafanyakazi mapema iwezekanayo b) Kutoa taarifa zote muhimu zinazohusiana na upunguzaji wa wafanyakazi uliokusudiwa kwa ajili ya mashauriano mazuri. c) Kushauriana na chama cha wafanyakazi kabla ya kupunguza wafanyakazi