a)Kutetea haki na maslahi ya wafanyakazi wote bila kuwabagua kwa misingi ya kijinsia, rangi,imani,itikadi na hadhi b) Kutetea upatikanaji wa hali bora za kazi c) Kushughulikia utatuzi wa migogoro ya kikazi. d) Kuwakilisha wanachama katika ngazi zote za kitaifa na za kimataifa e) Kuelimisha wafanyakazi kuhusu haki zao.