kama ambavyo tumeona katika serikali kuu kuwa kodi hizo zinasimamiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania, hivyo basi katika serikali za mitaa mara nyingi ukusanyaji kodi unasimamiwa na halmashauri za wilaya katika maeneo husika na kuhakikisha zinafanya malengo yaliyo kusudiwa.