Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini, na Sheria ya Taasisi ya za kazi zinatoa haki kwa wafanyakazi wote kuanzisha na kujiunga na vyama vya wafanyakazi na kwa waajiri kuunda vyama vya waajiri. Kwa hiyo, haki ya kujiunga na chama cha wafanyakazi au chama cha waajiri inalindwa kwa mujibu wa sheria