Huu ni mfumo maalumu ambao umeanzishwa na serikali katika kuimarisha usimamizi wa kodi ndani ya nchi. Wanufaikaji wa mfumo huu ni Serikali, wazalishaji, na watumiaji ambapo faida yake kubwa ni kulinda mapato ya Serikali kwa kuzuia bidhaa bandia.