hii ni kodi ambayo mara nyingi hulipwa na waajiri ambao wanaajiri zaidi wafanyakazi wake, hutozwa kwa asilimia sita kutoka kwenye mishahara, pia asilimia mbili ya hiyo kodi huenda kwenye mamlaka ya elimu ya mafunzo ya ufundi kwa malengo ya kutoa ujuzi kwa wafanyakazi ambao waajiri wanahitaji.