ndiyo kuna athari endapo sheria zitashindwa kubadilishwa, kwani kodi zote zipo kwa mujibu wa sheria kwa hiyo kushindwa kubadilisha sheria kwa mda mrefu itafanya upotevu mkubwa sana wa mapato yanayo kusanywa kwani kutakuwa hakuna sheria inayosimamia ukusanyaji huo.